ads

Tuesday, 21 November 2023

BASI

Kaditama nimetua, sisongi sirudi tena,Mambo nimeyatibua, hata nife hutoguna,Kweli yote nimejua, ulianza mbali sana,Basi.Nilihisi tunaota, kumbe ninajidanganya,Ilipita myaka sita, sina nililolifanya,Mwenyewe ukajipata, mwenyewe sikujiponya,Basi.Nikaiweka busara, kumbe linaletwa shari,Kaona kovu imara,...

KAMA NINGEKUWA JUA

Huwa halioni wivu, wala kuchukia kitu,Jua halina uchovu, halibadiliki katu,Huwa linatunza nguvu, jua si kama msitu,Kama ningekuwa jua, ningekuwa kitu bora.Jua shahidi wa vingi, wala haliji kusema,Usiri kwake msingi, halijawahi kugoma,Iwe mboga iwe bangi, moja hawezi kuchoma,Heri ningekuwa jua, ningekuwa...

SIKU ZA UJANA WA DIEGO COSTA

Na. Kenny AnjelinaAliamua kuacha starehe zote za nchini Brazil. Diego Costa the trouble some, akaacha pombe na bata za mitaa ya Rio de Janeiro na Santos.Akaacha warembo wa fukwe za huko Brazil ambao huzurura na bikini huku wakinywa wine.Akaicha nchi yake ya Brazil, akaliacha soka murua la samba akanunua...

JINSI AMBAVYO RAIOLA ANGEISUMBUA DUNIA KWA MBAPPE

Na. Kenny AnjelinaApril 30, 2022 juu ya kitanda kimoja kwenye hospitali ya San Raffaele nchini Italia, Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 54, alikuwa anavuta pumzi ya mwisho.Huyu alikuwa ni Mino Raiola, mzee wa fix, mzee wa kuchezesha miamala. Dalali na huni la kimataifa.Mino Raiola alikuwa wakala...

KIBURI KINAVYOWAUA WAJERUMANI

Na. Kenny AnjelinaWaingereza wanamsemo wao, Curiosity killed a cat. Yaani udadisi mwingi ulimuua paka. Paka hudadisi hata vitu vinavyomzidi uwezo mwisho hupata madhara na hata kufa.July 13, 2014, usiku ule Wajerumani walikuwa na furaha sana. Unajua kwanini? Walikuwa wanatwaa taji la Kombe la Dunia,...

DAR NA WATU WAKE

Hawa watu wana nini, kila siku najuliza,Mkiongea simuni, kweli watakuduwaza,Ni mabingwa wa kughani, maneno watakujaza,Ila jichanganye wende, utajuta kuzaliwa.Juzi nilikuwa hapo, sema kazi za ofisi,Atakweleza alipo, ukija kuna nafasi,Karibu siye tupo, tena tutajinafasi,Ile jichanganye wende, utajuta...

Thursday, 12 January 2023

WHEN THE STORM COMES

  Whether it's a rain storm,  I will take off my coat, hide you like a tent, When the storm comes, I will protect you my love.I will protect you, dear, in words and actions, Importantly, I will love you,When the storm comes, it will not bother you.It will find...

Monday, 9 January 2023

MY LOVE

 Beloved of my heart, Comfort of my soul, my hub a queen. What should I write to you, What is worth, I will never leave you. What gift should I give you? Please it's not candy, Although you like it, Your value has gone up.Come closer dear, Come...

HIS HYPOCRITIC SONG

 It's a catchy song, anyone with an ear,Those who sing to him, who love his coming,And it's a lie for them, , He is finished, with his own songs, He will make you laugh, turn around and scream, Always the victim.If there is a black one, the bets crush the white one, If he is...

ALONE

 AloneMy heart is lonely, my love is longing,But I am kicked and worthless,Where are you? Come on, don't apologize.Since you left me,I am crying without mercy, I do not know my wrong.It's not an empty joke, my heart is lonely,I do not like soup anymore, nor do I love corn.I m not into groups, I've...