ads
Showing posts with label Maajabu. Show all posts
Showing posts with label Maajabu. Show all posts

Wednesday, 10 February 2016

MIEZI SITA BILA YA JUA

Na.Steven Mwakyusa(Mtu makini)
Wakati ambao jua halizami kwa miezi 6, pia halichomozi kwa miezi 6 pia!!

Hili linaweza kuwa jambo geni na la kushangaza kwa walio wengi, ila ni jambo ambalo limekuweko toka kuwapo kwa hii dunia!!