Na. Steven Mwakyusa (Mtu Makini)
Kwa kawaida msanii anapoamua kumshirikisha msanii mwingine basi kuna vitu anakuwa ameviona kwa msanii husika ambavyo kwa namna moja au nyingine vinaweza kuboresha kazi husika!!
KALAMU YANGU ni mtandao ambao upo kwa ajili ya kupasha habari, kuelimisha na kufurahisha jamii kwa njia ya Mashairi, Hadithi, na Simulizi na Makala mbalimbali kutoka kwa wandishi mahiri wenye tuzo mbalimbali wakiongozwa na Jonasy Moringe. Mawasiliano zaidi tutafute kwa barua pepe jonasymoringe@gmail.com