Na.Mwanakalamu.
Ni vigumu sana kalamu
yangu kuandika mambo yahusuyo siasa,si kwa kuwa hazina umuhimu bali nimejikuta
napenda sana kutumia kalamu yangu kuandika kuhusu fasihi ambayo
inajitosheleza.Siasa ni maisha , siasa ni haki,siasa ni imani, siasa ni uhai
kwa kifupi siasa ni kila kitu hivyo ina umuhimu mkubwa.