ads
Showing posts with label Siasa. Show all posts
Showing posts with label Siasa. Show all posts

Friday, 2 June 2017

CHADEMA NA CCM TAFADHARI MSUBIRI KUWAPONGEZA WASHINDI




Na.Mwanakalamu.
Ni vigumu sana kalamu yangu kuandika mambo yahusuyo siasa,si kwa kuwa hazina umuhimu bali nimejikuta napenda sana kutumia kalamu yangu kuandika kuhusu fasihi ambayo inajitosheleza.Siasa ni maisha , siasa ni haki,siasa ni imani, siasa ni uhai kwa kifupi siasa ni kila kitu hivyo ina umuhimu mkubwa.