Na. Kenny Anjelina
Aliamua kuacha starehe zote za nchini Brazil. Diego Costa the trouble some, akaacha pombe na bata za mitaa ya Rio de Janeiro na Santos.
Akaacha warembo wa fukwe za huko Brazil ambao huzurura na bikini huku wakinywa wine.
Mtukutu Diego Costa alikuwa mtu bhana. Wakati akiwa na jezi ya Chelsea na Atletico De Madrid alikuchezea kwanza rafu afu anaweka kwenye kamba. Hakuwa mlaini kama Olmo wa Uhispania ya leo.
Mwaka 2014 Mtukutu Diego Costa alisafiri na timu ya taifa ya Uhispania hadi Brazil kwenye mashindano ya kombe la dunia. Na ndo huko hadithi yangu inaanza.
Uhispania, Chille, Uholanzi na Australia walipangwa kundi 1. Wabrazil wakawa wanaomba Mungu Mtukufu Diego Costa na Hispania yake watolewe kwani wangetukanwa matusi mengi kutoka kwa Costa. Waliogopa kebehi za Costa kutwaa taji kwenye ardhi ya Brazil.
Mechi ya kwanza Spain wakapigwa 5-1 mbele ya Uholanzi. Shukrani kwa Van Persie na the killer Arjen Roben. Mechi ya pili Spain akafa 2-0 mbele ya Chille ya Vidal na Alexis Sanchez.
Hadi hapo Spain wakawa wametolewa. Hadithi ikawa fupi kwa the trouble some Diego Costa.
Wakati anatoka uwanjani wabrazil wakaanza kumzomea huku wakiimba "Adias spana! Adias Amigo!" Yaani kwaheri Rafiki kwaheri mwenzetu. Wabrazil wakanywa pombe na kufurahi usiku ule.
HAPO ZAMANI ZA KALE






Nilimkuta mke wangu akinidanganya baada ya kugundua jumbe kati yake na mpenzi wake wa zamani kwenye simu yake. Nilihuzunika sana kwa sababu sikuweza kuelewa nilichofanya ili kustahili hilo. Nilipomkabili kuhusu hilo, alikasirika na kusema alitaka talaka.
ReplyDeleteNilimpenda sana, na sikuweza kuvumilia wazo la kumpoteza mke wangu na watoto kwa mwanaume mwingine. Kisha nikajulishwa kwa mtu aliyedai kusaidia kufufua mapenzi katika ndoa zenye matatizo.
Saa chache baada ya Dkt. Dawn kusema amekamilisha uchawi, mke wangu alinipigia simu nilipokuwa kazini, akiniomba nimsamehe na kusema anaomba msamaha kwa kutaka kuondoka kwenye ndoa yetu.
Nilishtuka kabisa. Machozi yalinitoka mara moja kwa sababu niliamini kweli kwamba nilikuwa nimepoteza familia ambayo nilikuwa nimejitahidi sana kuijenga.
Ikiwa unapitia matatizo ya uhusiano na unahitaji msaada, unaweza kuwasiliana na Dkt. Dawn kupitia WhatsApp: ( +2349046229159 ). dawnacuna314@gmail.com
kwa suluhisho la haraka na lenye nguvu.
Huduma zinazotolewa:
• Uchawi wa mapenzi
• Kurejesha upendo na furaha katika mahusiano na ndoa
• Kuvutia mpenzi mpya
• Usomaji wa mahusiano
• Tambiko za bahati nasibu
• Kurejesha mali iliyoibiwa
• Mwongozo wa hatua kwa hatua kwa masuala na changamoto za kibinafsi